Watu 8 wauwawa kwenye mafuriko Marekani

Map
Mafuriko mabaya yaliyosabishwa na mvua kubwa yamesomba kidimbi kimoja cha kuogelea katika jimbo la Arizona nchini Marekani na kuwaua watu 8.
Takriban wawili kati ya wale waliouawa ni watoto.
Shughuli za kutafuta zinandelea kuwatafuta watu ambao bado hawajulikani waliko.
Mafuriko yalitokea eneo la Cold Springs karibu na Patson Jumamosi alasiri.
"Kundi la watu walikuwa wakistarehe eneo la chini la mto, alisema afisa wa polisi David Horning.
Mvua haikuna inayesha eneo ambapo watu walikuwa wakiogelea
Takribana watu wanne wameokolewa na sasa wanatibiwa

Comments

Popular posts from this blog

Maofisa Polisi wakamatwa kwa unyanyasaji Ureno

Watu wawili wakwama katika shimo kubwa Brazil

Abiria asafiri kwa ndege na mkebe wa bia pekee kama mzigo